28 March 2025, 12:48 pm

‘Mwambie Nimesafiri’: Wajawazito Terrat wapambana na hali zao

Katika jamii nyingi za Kitanzania, ujauzito ni safari ambayo inapaswa kuwa ya wawili, lakini kwa wanawake wengi wa maeneo ya vijijini kama Terrat, safari hiyo inageuka kuwa ya upweke, huzuni na changamoto kubwa. Kupitia simulizi ya sauti yenye mguso wa…

On air
Play internet radio

Recent posts

28 November 2025, 6:11 pm

Wakazi wa Simanjiro,Kiteto wapewa elimu kuweneda na mabadiliko ya tabianchi

Baadhi ya wanawake wakiwa katika mafunzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Manyara Hall -Ilaramatak Terrat Simanjiro kuhusu kuendana na adhari za mabadiliko ya tabianchi yaliyotolewa na shirika lisilo la kiserikali la PINGOs Forum leo Novembar 28,2025 (picha Evanda Barnaba). Na Joyce…

28 November 2025, 9:14 am

Kilimo cha Umwagiliaji: Suluhisho la Ukame na Njia ya Uhakika ya Kipato

KURUNZI MAALUMU Katika hali ya ukame uliokolea na utegemezi wa mvua, hasa Manyara, Orkonerei FM inakuletea Kurunzi Maalumu inayoangazia Kilimo cha Umwagiliaji kama mkombozi mkuu. Sikiliza jinsi wakulima wa Kata ya Terrat, Simanjiro, wanavyotumia vyanzo vidogo vya maji kama korongo…

25 November 2025, 1:19 pm

Ukatili wa kijinsia bado ni changamoto

Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kupinga Ukatili wa Kijinsia Duniani, wananchi wameendelea kukumbushwa umuhimu wa kulinda haki, usalama na utu wa wanawake, wanaume na watoto katika jamii Akizungumza Orkonerei fm kupita kipindi cha mchaka mchaka kwa njia ya simu Bi…

24 November 2025, 9:10 pm

Mitandao ya kijamii inavyogeuka jukwaa la kipato

Je, unatumia mitandao ya kijamii kwa burudani tu, au umetambua fursa ya soko iliyopo? Katika kipindi chetu cha KURUNZI MAALUM, tumechambua kwa kina namna ya kutumia ongezeko la watumiaji wa intaneti nchini kufanya biashara na kujiingizia kipato. Usikose: Kupata maana…

18 November 2025, 10:20 am

Umuhimu wa elimu ya jinsia kwa njia ya asili

Kurunzi maalum Elimu ya kijinsia ni mchakato wa kujifunza na kupata maarifa, stadi na mitazamo sahihi kuhusu masuala yote yanayohusu jinsia ya binadamu. Sikiliza makala hii kwa elimu zaidi. Lengo la msingi wa elimu ya jinsia ni kuwapa watu uwezo…

10 November 2025, 8:00 am

Akili Unde: mfariji mpya au tishio liliojificha?

Akili mnemba (AI) sasa imeingia kwenye maisha ya kila siku kuanzia vyuoni, biashara hadi mahusiano binafsi, Wengine wanaona ni mkombozi wa elimu na ufanisi, wengine wanaiona kama hatari inayotishia fikra za kibinadamu. Na Isack Dickson Kadiri dunia inavyokumbatia teknolojia, matumizi…

7 November 2025, 10:16 am

Makala ya kurunzi kuhusu matumizi ya AI

“Kutokana na uwezo wake wa kuboresha huduma katika sekta mbalimbali kama vile afya, elimu, usafiri, na biashara, AI inatoa faida nyingi“ Na Dorcus Charles Katika ulimwengu wa leo, teknolojia ya Akili Bandia (AI) imekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya…

23 October 2025, 4:21 pm

Ole Lekisongo: Kabila la kimasai ni jeshi la jamii

Na Evanda Barnaba Laigwanani Mkuu wa Jamii ya Wamasai, Ndugu Isack Ole Lekisongo, ameongoza uzinduzi rasmi wa shughuli za jando kwa rika jipya la Irmegoliki, ikiashiria mwanzo wa msimu wa 2025-2032 wa sherehe za mila. Sherehe hizo za kihistoria zilifanyika…

17 October 2025, 10:57 am

Changamoto za ankara za maji Terrat: Bili kubwa kuliko matumizi

Kurunzi Maalum Orkonerei FM Radio kupitia kipindi cha Kurunzi Maalumu inamulika sekta ya maji, ikizungumzia changamoto za bili (ankara) za maji katika Kata ya Terati, Wananchi wengi wanalalamika kupokea bili zinazokuja na gharama kubwa, na wakati mwingine wanaona ni kubwa…

17 October 2025, 8:18 am

Wahanga wa bili kubwa za maji Terrat waeleza changamoto

Na Isack Dickson Wakazi wa Kijiji cha Terrat, Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wanakabiliwa na changamoto ya kupokea bili za maji ambazo hazilingani na matumizi yao halisi, huku wakidai kuwa bei hizo ni kubwa na zinawatesa. Baadhi yao wanasema kuwa bili…

Dira na Dhamira

DIRA:

Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari

DHAMIRA:

Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.

Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.

Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”