Recent posts
5 June 2026, 10:49
Unafahamu nini kuhusu ukatili dhidi ya wafanyakazi za nyumbani?
Na Mwanahamisi Chikambu, Mwanaidi kopakopa Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na mwamko mkubwa wa kutetea haki za binadamu, lakini bado kuna kundi linalosahaulika gizani ni wafanyakazi wa kazi za ndani. Katika mazingira ambayo kwa muda mrefu yamejaa unyanyasaji na…
3 June 2026, 07:53
Wadau waunga mkono tozo ya maendeleo ya bandari
Wadau wa Bandari Mtwara na Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TASACS) wamepongeza kuanzishwa kwa Tozo ya Maendeleo ya Miundombinu ya Bandari (PID), wakisema itaboresha huduma, kupunguza muda wa mizigo bandarini na kuongeza ufanisi wa biashara. Na Gregory Millanzi Chama…
2 June 2026, 11:21
Mtwara yawakutanisha wataalamu wa Korosho barani Afrika
Mtwara imekuwa mwenyeji wa mafunzo ya kimataifa ya korosho yaliyowakutanisha washiriki kutoka zaidi ya nchi 11 za Afrika kujadili mbinu za kuongeza uzalishaji, thamani na masoko ya zao la korosho kwa manufaa ya wakulima na wadau wa sekta hiyo Na…
25 May 2026, 10:42
Maeneo yanayochipua mapema Mikorosho yapewa kipaumbele Pembejeo
Bodi ya Korosho Tanzania imesema usambazaji wa pembejeo za ruzuku kwa msimu wa 2026/2027 umeanza katika maeneo yanayowahi kuchipua mikorosho, huku wakulima wakitakiwa kutumia utaratibu ule ule wa usajili kupitia AMCOS Na Musa Mtepa Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) imesema…
23 May 2026, 11:01
DC Mwaipaya aongoza zoezi la usafi Makaburi ya Msafa
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Abdala Mwaipaya, ameungana na wananchi kufanya usafi katika Makaburi ya Msafa na kuhimiza jamii kuendeleza usafi wa mazingira ili kuimarisha usalama na afya ya wananchi Na Musa Mtepa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Ndugu Abdala…
22 May 2026, 14:00
TAMCU yauza ufuta mnada wa kwanza bei ya juu shilingi 2520
TAMCU yauza zaidi ya tani 994 za ufuta katika mnada wa kwanza Tunduru kwa wastani wa shilingi 2,477 kwa kilo, huku viongozi wakisisitiza malipo ya wakulima kufanyika kwa wakati Na Musa Mtepa Chama Kikuu cha Ushirika wa Mazao na Masoko…
20 May 2026, 15:48
TAKUKURU Mtwara yafanikisha malipo ya zaidi ya milioni 87.3 kwa wananchi
TAKUKURU Mkoa wa Mtwara imewezesha kurejeshwa kwa zaidi ya shilingi milioni 87 kupitia miradi ya kuzuia rushwa, uchambuzi wa mifumo na ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za umma kati ya Januari hadi Machi 2026 Na Musa Mtepa Taasisi ya Kuzuia…
16 May 2026, 12:12
Mtwara wahimizwa kuwekeza kwenye malezi ya watoto
Jamii Mkoa wa Mtwara imetakiwa kuwekeza zaidi katika malezi ya watoto kwa kuwajengea maadili mema na ushiriki wa wazazi wote, huku wadau wakisisitiza kuboresha vituo vya malezi na kuongeza uelewa wa jamii kuhusu ukuaji timilifu wa mtoto Na Musa Mtepa…
15 May 2026, 09:04
Baraza la Madiwani Mtwara lahoji utekelezaji wa mradi wa TACTICS
Madiwani wa Manispaa ya Mtwara Mikindani wameeleza kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa TACTICS, huku viongozi wakitaka usimamizi madhubuti ili mradi huo uweze kuwanufaisha wananchi Na Musa Mtepa Baraza la madiwani la Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara…
1 May 2026, 15:39
TASA yatambulisha mradi wa mazingira, usawa wa kijinsia Mtwara
TASA yazindua mradi Mtwara kuwajengea uwezo wanawake na vijana katika utunzaji wa mazingira na usawa wa kijinsia, ikitumia sanaa kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu na kuacha vitendo vinavyoharibu mazingira. Na Musa Mtepa Shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Safaty Alliance (TASA),…