Recent posts
23 July 2026, 14:29
Ndejembi awasha umeme Sekondari, Mtwara
Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi amewasha umeme katika Shule ya Sekondari Mtiniko, Nanyamba, na kusema Serikali imewekeza zaidi ya Shilingi bilioni 203 kupeleka umeme katika vijiji na vitongoji vya Mkoa wa Mtwara Na Musa Mtepa Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius…
23 July 2026, 12:54
Wananchi Newala waishukuru serikali kwa umeme
Wananchi wa Newala wameishukuru Serikali kwa kuzindua laini ya umeme wa kV 33 kutoka Masasi hadi Newala, wakisema itaimarisha shughuli za kiuchumi, kuongeza uzalishaji wa wajasiriamali na kuboresha huduma zinazotegemea umeme wa uhakika Na Musa Mtepa Wananchi wa Wilaya ya…
21 July 2026, 21:30
Serikali yatatua changamoto ya umeme Newala
Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi amezindua laini ya umeme ya kilovoti 33 kutoka Masasi hadi Newala, mradi utakaoboreshwa upatikanaji wa umeme wa uhakika na kuchochea shughuli za kiuchumi wilayani humo Na Musa Mtepa Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, leo Julai…
18 July 2026, 10:55
TARI Naliendele yawanoa wenye ulemavu kilimo cha korosho
TARI Naliendele imetoa mafunzo kwa watu wenye ulemavu kuhusu kilimo bora cha korosho, ikiwajengea uwezo wa kutumia mbegu bora na kudhibiti magonjwa ili kuongeza uzalishaji na tija. Na Musa Mtepa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), Kituo cha Naliendele…
13 July 2026, 17:26
Wavuvi Msangamkuu wakwama kutumia boti ya mkopo
Wanachama wa MFICO’S Msangamkuu wameiomba serikali kukamilisha vifaa vya boti ya mkopo yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 102, wakisema upungufu wa vifaa umewazuia kuanza uvuvi na kurejesha mkopo Na Musa Mtepa Wanachama wa Chama cha ushirika cha msingi…
8 July 2026, 13:15
UTPC yawanoa wanahabari wanawake dhidi ya ukatili mtandaoni
UTPC imeanza mafunzo ya siku nne kwa waandishi wa habari wanawake kutoka Tanzania Bara na Zanzibar ili kuwajengea uwezo wa kukabiliana na ukatili wa kijinsia mtandaoni, kuimarisha usalama wa kidijitali na kupata msaada wa kisheria wanapokumbana na vitisho. Na Grace…
5 July 2026, 13:43
Mtoto afariki baada ya kuzama baharini Mtwara
Mtoto mwenye umri wa miaka 13, mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza wa Shule ya Sekondari Mikindani, amefariki baada ya mtumbwi aliokuwa akisafiria kuzama kufuatia upepo mkali katika Bahari ya Hindi, Mtwara. Na Musa Mtepa Mtoto Mrisho Hassani Nagwenya (13), mkazi…
4 July 2026, 17:19
Polisi Mtwara wakamata watuhumiwa utapeli wa fedha
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limewakamata watuhumiwa wanne wa makosa ya kimtandao wanaodaiwa kuwatapeli mawakala wa fedha kwa njia ya simu, huku likitoa tahadhari kwa mawakala dhidi ya kutoa simu zao kwa watu wasiowafahamu. Na Musa Mtepa Jeshi la…
2 July 2026, 12:10
TRA Mtwara yakusanya Bilioni 237, yavuka lengo kwa asilimia 156
TRA Mkoa wa Mtwara imekusanya Shilingi bilioni 237 mwaka 2024/2025, sawa na asilimia 156 ya lengo, huku ikiadhimisha miaka 30 ya mamlaka hiyo na kutoa Tuzo za Rais kwa walipa kodi bora. Na Musa Mtepa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…
1 July 2026, 11:11
RC Mtwara atoa wito kutokomeza ukatili dhidi ya watoto
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Donald Msengi, amewataka wazazi na walezi kushirikiana kutokomeza ukatili dhidi ya watoto huku akibainisha kuwa zaidi ya matukio 710 yaliripotiwa mkoani humo kati ya Julai 2025 na Machi 2026. Na Musa Mtepa Mkuu wa…