1 April 2026, 15:24

Makato ya korosho kikwazo mradi wa soko Mnyahi

Wananchi wa Mnyahi Mtwara walalamikia kuchelewa kwa ujenzi wa soko licha ya makato ya korosho, wakitupia lawama viongozi wa kijiji na mfumo wa ukusanyaji fedha. Na Musa Mtepa Wananchi wa kijiji cha Mnyahi, kata ya Milangominne mkoani Mtwara, wameulalamikia uongozi…

On air
Play internet radio

Recent posts

23 July 2026, 14:29

Ndejembi awasha umeme Sekondari, Mtwara

Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi amewasha umeme katika Shule ya Sekondari Mtiniko, Nanyamba, na kusema Serikali imewekeza zaidi ya Shilingi bilioni 203 kupeleka umeme katika vijiji na vitongoji vya Mkoa wa Mtwara Na Musa Mtepa Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius…

23 July 2026, 12:54

Wananchi Newala waishukuru serikali kwa umeme

Wananchi wa Newala wameishukuru Serikali kwa kuzindua laini ya umeme wa kV 33 kutoka Masasi hadi Newala, wakisema itaimarisha shughuli za kiuchumi, kuongeza uzalishaji wa wajasiriamali na kuboresha huduma zinazotegemea umeme wa uhakika Na Musa Mtepa Wananchi wa Wilaya ya…

21 July 2026, 21:30

Serikali yatatua changamoto ya umeme Newala

Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi amezindua laini ya umeme ya kilovoti 33 kutoka Masasi hadi Newala, mradi utakaoboreshwa upatikanaji wa umeme wa uhakika na kuchochea shughuli za kiuchumi wilayani humo Na Musa Mtepa Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, leo Julai…

18 July 2026, 10:55

TARI Naliendele yawanoa wenye ulemavu kilimo cha korosho

TARI Naliendele imetoa mafunzo kwa watu wenye ulemavu kuhusu kilimo bora cha korosho, ikiwajengea uwezo wa kutumia mbegu bora na kudhibiti magonjwa ili kuongeza uzalishaji na tija. Na Musa Mtepa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), Kituo cha Naliendele…

13 July 2026, 17:26

Wavuvi Msangamkuu wakwama kutumia boti ya mkopo

Wanachama wa MFICO’S Msangamkuu wameiomba serikali kukamilisha vifaa vya boti ya mkopo yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 102, wakisema upungufu wa vifaa umewazuia kuanza uvuvi na kurejesha mkopo Na Musa Mtepa Wanachama wa Chama cha ushirika cha msingi…

8 July 2026, 13:15

UTPC yawanoa wanahabari wanawake dhidi ya ukatili mtandaoni

UTPC imeanza mafunzo ya siku nne kwa waandishi wa habari wanawake kutoka Tanzania Bara na Zanzibar ili kuwajengea uwezo wa kukabiliana na ukatili wa kijinsia mtandaoni, kuimarisha usalama wa kidijitali na kupata msaada wa kisheria wanapokumbana na vitisho. Na Grace…

5 July 2026, 13:43

Mtoto afariki baada ya kuzama baharini Mtwara

Mtoto mwenye umri wa miaka 13, mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza wa Shule ya Sekondari Mikindani, amefariki baada ya mtumbwi aliokuwa akisafiria kuzama kufuatia upepo mkali katika Bahari ya Hindi, Mtwara. Na Musa Mtepa Mtoto Mrisho Hassani Nagwenya (13), mkazi…

4 July 2026, 17:19

Polisi Mtwara wakamata watuhumiwa utapeli wa fedha

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limewakamata watuhumiwa wanne wa makosa ya kimtandao wanaodaiwa kuwatapeli mawakala wa fedha kwa njia ya simu, huku likitoa tahadhari kwa mawakala dhidi ya kutoa simu zao kwa watu wasiowafahamu. Na Musa Mtepa Jeshi la…

2 July 2026, 12:10

TRA Mtwara yakusanya Bilioni 237, yavuka lengo kwa asilimia 156

TRA Mkoa wa Mtwara imekusanya Shilingi bilioni 237 mwaka 2024/2025, sawa na asilimia 156 ya lengo, huku ikiadhimisha miaka 30 ya mamlaka hiyo na kutoa Tuzo za Rais kwa walipa kodi bora. Na Musa Mtepa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…

1 July 2026, 11:11

RC Mtwara atoa wito kutokomeza ukatili dhidi ya watoto

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Donald Msengi, amewataka wazazi na walezi kushirikiana kutokomeza ukatili dhidi ya watoto huku akibainisha kuwa zaidi ya matukio 710 yaliripotiwa mkoani humo kati ya Julai 2025 na Machi 2026. Na Musa Mtepa Mkuu wa…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.